Thursday, April 3, 2014

dalil za kulogwa na dalili za kuwa na majini


Dalili za kurogwa au kuwa na jini mwilini
  • Kuota ndoto za kutisha mara kwa mara
  • Kuumwa kichwa bila kupona hasa upande mmoja
  • Kuhisi umebeba mzigo mabegani
  • Kubanwa kifua bila sababu
  • Kuwa na hofu bila sababu
  • Kupenda kulala sana na masaa mengi unapenda kuwa pekee yako
  • Kukata tamaa ya kuishi na kutamani kujiua
  • Kujisikia mchovu muda wote
  • Kuona ukungu machoni na huku hauna malaria
  • Kwa mwanaume kukosa nguvu za kiume hata kama ana hamu ya kutenda tendo la ndoa
  • Mwanamke kuingia hezini muda wote bila kikomo
  • Kuona mke wako ana sura mbaya wakati ulimuoa ukimuona anayo sura ya kupendeza
  • Kumuona mme wako ana sura mbaya wakati anakuoa ulimuona ana sura nzuri
  • Kujisikia mzito na kusinzia wakati wa kusoma au kusikiliza Qur'an au mawaidha
  • Kusikia vitu vinatembea mwilini na baadhi ya viungo vinatingishika bila wewe kuvitingisha
  • Kuhisi kiungo kina joto lisilo la kawaida na wakati mwingine kiungo kupata ganzi
  • Kupata stroke isiyoeleweka chanzo chake
  • Kuongea usiku na watu waliokufa siku nyingi
  • Kuota unaingia chooni na kujisaidia au kukojoa mara kwa mara na wakati mwingine unakaribia kukojoa kitandani
  • Kukuta umechanjwa au una mikwaruzo mikubwa mwilini
  • Kuchukia mke au mme bila sababu na akiongea utaona anaongea mambo ya kijinga na utamjibu vibaya na hapo mtaanza kugombana bila sababu ya msingi.
  • Kuwa kichaa bila sababu ya kisayansi inayotambulika
  • Kutoona vizuri wakati fulani na macho kuuma bila sababu zinazoonekana, hii ni kwa wanafunzi na wafanyakazi
  • Kupenda machafu muda wote yaani zinaa, ulevi, fitina, n.k
  • Kuota unalishwa madawa au nyama kwa mazingira usiyoelewa na watu unaowajua na usiowajua
  • Kuota mara kwa mara uko makaburini
  • kuota ndoto za kweli wakati wewe si mchamungu.
  • Kuugua kifafa isiyo ya kawaida
  • Kutoka mimba zikiwa changa bila sababu zilizothibitishwa kisayansi.
  • Kupenda kufanya tendo la ndoa mara kwa mara na hata kutamani tendo hilo hata wakati wa swala 
  • Kuota unabeba watoto wachanga
  • Kuchukiwa na kila mtu bila sababu
  • Kuota unapambana wa watu au unaumwa na wanyama, nyoka na ukiamka unaogopa sana
  • Kuogopa watu bila sababu na kupenda kukaa peke yako
  • Kula bila kushiba na chakula ni kingi na ukipima huna minyoo
  • Kupata choo kwa shida hata kama unakula vyakula laini na kunywa maji
Tiba sahihi ya magonjwa yasiyopata majibu kisayansi ni maombi na madawa ya kunywa na kujipaka.



Kuna tatizo hili sana hasa mtu akiwa amevalishwa nguvu za giza na hata akiwa anafanyiwa mazingira ya kuhujumiwa kwa nguvu za kishirikina.

Tiba yake ni kuwa unajipaka mafuta haya Powerful Oil na hii itafukuza nguvu za giza na negative energies zote zitaondoka na utahisi mwepesi na mwenye akili nzuri za kutafakari.
Unajipaka usoni, kifuani na kichwani kila siku mpaka unaposikia umekuwa sawa hasa siku saba utaanza kuwa sawa kwa uwezo wa Mungu uliopo ndani ya mafuta haya na miti iliyotoa mafuta na dawa zilizomo.

Dawa nyingine za kunywa ni hizi:

Madawa haya yanatokana na mitishamba mbali mbali ya Africa na Mashariki ya Kati na yanatibu magonjwa mengi unayo yajua na yale usiyojua. Madawa haya ni unga umesagwa na ni rahisi kutumia kwenye maji moto au asali na hakuna kemikali yoyote. Powerful oil ni mafuta yenye uwezo mkubwa wa kufukuza na kuzuia nguvu za giza za aina zote.


 MADAWA HAYA KWA MAJINA NI:
  1. POWERFUL OIL
  2. MT32
  3. SAFISHA

MADAWA HAYA YA ASILI NA HAYANA KEMIKALI YOYOTE NA MADAWA YENYE UWEZO MKUBWA ALIOWEKA MWENYEZIMUNGU KATIKA TIBA MBALI MBALI KWANI YAMEFANYIWA UTAFITI WA MUDA MREFU NA NI MITISHAMBA ZAIDI YA 30 IMECHANGANYWA, MAFUTA HAYO YANA NGUVU KUBWA YA TIBA. 

1.POWERFUL OIL


HAYA MAFUTA YANATIBU:

  • KUONDOA NGUVU ZA GIZA
  • KUSADIA KUFA GANZI KATIKA BAADHI YA VIUNGO, MIGUU KUWAKA MOTO
  • KUFUKUZA MAJINI NDANI YA MWILI
  • KUZUIA KUOTA NDOTO ZA KUTISHA
  • KUOTA UNAINGILIWA KIMAPENZI USIKU
  • KUZUIA WACHAWI KUINGIA NDANI YA NYUMBA YAKO KWA NGUVU ZA GIZA( JIPAKE KABLA YA KULALA MWILI MZIMA KIDOGO TU NA NYUNYUZIA KWENYE NYUMBA YAKO KILA BAADA YA MWEZI HASA KWENYE PEMBE , MADIRISHA NA MILANGONI)
  • KUONDOA HALI YAKUWA NA WASIWASI NA KUKATA TAMAA NA HALI YA KUCHANGAMKA(JIPAKE USONI NA KICHWANI NA KIFUANI NA UTAJISIKIA UNAKUWA NA HALI MPYA NA KUONGEZA NGUVU YA KUTOKATA TAMAA)
2.MT32

 DAWA HII INAITWA MT32 KWANI NI UNGA ULIOSAGWA KUTOKANA NA MITI 32 YA TIBA.

UNATUMIA KWENYE ASALI AU UNACHEMSHA NA KUNYWA NA INATIBU MAGONJWA MENGI YANAYOJULIKANA KWA VIPIMO NA YALE YASIYOJULIKANA KWA VIPIMO HASA HAYA:
  • UCHAWI ULIOKO MWILINI
  • KUHISI VITU VINATEMBEA MWILINI
  • KUHISI MWILI MZITO NA KAMA UMEBEBA MZIGO 
  • KUISHIWA NGUVU NA VIPIMO HAVIONYESHI CHANZO
  • MISHIPA YA UZAZI KUHISI INAUMA NA CHANZO HUKIJUI
  • KUHISI KUNA VITU VINATEMBEA JUU YA NGOZI
  • KUHISI MOYO UNAJITINGISHA NA BAADHI YA VIUNGO




3.SAFISHA

 Dawa ni mitishamba na inasafisha mafuta yaliyoko mwilili na kwenye utumbo mpana na mwembamba(small and large intestines kwa siku 3 mpaka 7).

Sasa dawa hii ina faida hizi:
  • Kupunguza uzito
  • Kuondoa uchafu tumboni
  • Kusaidia kupata choo
  • Kusafisha mishipa na kukupa afya imara kwani mfumo wa chakula ndo unasababisha upate afya nzuri.
  • Kama ulilishwa madawa ya uchawi yatatoka yote
 KWA WALE WANAOTAKA KUPUNGUZA UZITO NAO INAWASAIDIA SAMBAMBA NA KULA MILO ISIYO NA MAFUTA MENGI NA WANGA KWA WINGI. UKISHA TUMIA GLASS 1 BAADA YA MASAA KAMA SITA UNAHARISHA KWA KIASI FULANI NA MPAKA SIKU 3 UNAKUWA UMEPUNGUA NA WEWE MWENYEWE UTASIKIA UMEKUWA MWEPESI

Baada ya kuichemsha unakunywa na mnamo masaa 6 utaanza kuharisha na kuendelea kiasi unaharisha kawaida na kutoa uchafu, mafuta, na hata magonjwa ya tumboni, watu wasiopata choo na kinaganda nao wanatoa uchafu huu hatari wa kuozea tumboni na kusababisha vidonda vya tumboni na wakati mwingine kansa ya utumbo. Choo kinakuwa cha shida na mtu akienda chooni anakunya kama kinyeshi cha mbuzi na mwingine anakaa mpaka anapasua sehemu ya haja kubwa na kutoka damu. Hii ikiwa ya muda mredu mishipa hulegea na kusababisha sehemu ya ndani kutoka na hatimaye kupata magonjwa ya ajabu na magumu kutibu hospitalini.
Mawasiliano: Upate huduma

+255762053174/+255621870342

Email:tibaherbs@gmail.com

1 comment: